Welcome to our online store Portal

Template Information

New Products

Friday, June 2, 2017

Swissgear Smart Bag


Tzs80000.00
Some text for description your item here!
View detail

Thursday, September 18, 2014

IUFRO2014 Blog Competition

How to Enter and Win

  • Write a blog article that introduces your research or project and how it relates to the overall Congress theme “Sustaining Forests, Sustaining People – The Role of Research”. See the FAQ’s for what makes a good blog post.
  • Submit your blog posting with a maximum word count of 750 along with any photos to blog@iufro.org in a .doc or .docx  file with the subject line “IUFRO2014 Blog Competition”.
  • Ensure to include a caption and credit for any photos submitted.
  • Entries must be received by 30th September 2014 (23:59hrs +12 GMT).
  • To increase your chances of winning, post your story on Twitter with the hashtags #IUFRO2014 and #RoleOfResearch, and encourage friends to comment, “like” and “share” your post on Facebook, and retweet your post on Twitter. The more views, comments, and votes your article receives the greater your chance of winning.
  • The winner who has the most popular article submitted to the #IUFRO2014 Blog Competition will receive a cash prize in the sum of USD 500.
  • Two additional finalists will be selected according to the article they submitted based on a popularity ranking with the most page views, comments and highest votes. These persons will receive a copy of “Forests and Globalization: Challenges and Opportunities for Sustainable Development“.
View detail

Tuesday, August 26, 2014

FURSA YA KUSOMESHWA NA MFUKO WA MWL NYERERE KWA WATANZANIA TUU

http://azizicompdoc.blogspot.com/

With effect from the 2013/14 academic year, the M
walimu Julius K. Nyerere Memorial Scholarship Fund began granting Scholarship in the United Republic of Tanzania. The Fund grants scholarship to top best undergraduate female Tanzanian students to pursue Mathematics and Science studies in Tanzanian universities.
It is also partly used to sponsor both male and female Tanzanians
top best students to pursue undergraduate studies in Economics Information Technology, Accounting and Finance as well as best
students intending to pursue Master’s programmes in those fields
Follow the link for more information
View detail

UMESHAWAHI KUJIULIZA KUHUSU KUPATA MAFANIKIO? MAJIBU ULIYAPATA?

Ulishawahi kujiuliza siku moja kua kwanini watanzania wengi tuna uwezo wa kifikra lakini hatufiki popote kwa mawazo na fikra zetu? Je ulishapata jibu? sasa fuatana mimi kujua jibu la swali hili, ni kutokana na kutofikiria tunaanzaje kutekeleza tunalolifikiria ktk vichwa vyetu, tunaipaje nafasi fikra yetu? tunalipaje nafasi wazo letu? je tunaweza kulielezea wazo letu? lakini haya yote niliyapata majibu ktk mafunzo mafupi niliyohudhuria KINUvation ktk mafunzo yalipewa jina la
Design for Development Bootcamp! ambayo yalinifanya nipanue uwezo wangu wa kiakili, kifikra na kuweza kuyawasilisha yale ninayoyafikiri ili yaweze kunisaidia mimi na watu wanaonizunguka bila kumsahau muajiri wangu kunafaika na elimu niliyoipata. Hakika ni pongezi kwao waliofikiria kutuletea mafunzo kama haya KINUvation chini ya usimamizi mkubwa wa Catherinerose Barretto na  Mr Max Krueger  pongezi kubwa kwa watu hawa
 



http://azizicompdoc.blogspot.com/
Hakika mafanikio hufurahisha sana pale unapoona ulilofikiri linafanikiwa
Akili hutulia sana pale unapojiandaa kuonyesha ulilolifikiria na kulifanikisha


http://azizicompdoc.blogspot.com/
Ni furaha isiyokifani pale ulilionyesha kwa wenzio linafanikiwa

http://azizicompdoc.blogspot.com/
Hakika maelekezo na mafunzo lazima yafuatwe kabla ya lolote kufanyika

http://azizicompdoc.blogspot.com/
Inafurahisha kila mtu anapopewa nafasi ya kusikilizwa na kuelezea analolifikiri lingefaa kunufaisha wengine


http://azizicompdoc.blogspot.com/
Hakika akili ukiituma yaweza kukupa majibu sahihi

http://azizicompdoc.blogspot.com/
Kila mmoja akipewa nafasi kwa wakati wake maendeleo yanaweza kua makubwa zaidi

http://azizicompdoc.blogspot.com/
Je na wewe umeshafikiria kuutoa ujuzi ulionao kwa wengine tena bila ya malipo?

http://azizicompdoc.blogspot.com/
Hakika kila aliye na ujuzi wa jambo anapenda na mwingine aupate ujuzi huo, ni suala la furaha

http://azizicompdoc.blogspot.com/
Ukiona Fursa huna budi kuifuata na kunufaika nayo


View detail

Thursday, August 21, 2014

MWINYI ATEMA CHECHE ZAWAGUSA VIONGOZI WAKUBWA NCHINI


http://azizicompdoc.blogspot.com/
Mstaafu wa Awamu ya Pili, Alhaj Ali Hassan Mwinyi (katikati) akifungua semina ya majadiliano kati ya Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma na wanahabari waliojadili rasimu ya Sheria Mpya ya Kudhibiti Mgongano wa Maslahi kwa Viongozi wa umma.
Mstaafu wa Awamu ya Pili, Alhaj Ali Hassan Mwinyi akifungua semina ya majadiliano kati ya Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma na wanahabari waliojadili rasimu ya Sheria Mpya ya Kudhibiti Mgongano wa Maslahi kwa Viongozi wa umma.
Mstaafu wa Awamu ya Pili, Alhaj Ali Hassan Mwinyi akifungua semina ya majadiliano kati ya Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma na wanahabari waliojadili rasimu ya Sheria Mpya ya Kudhibiti Mgongano wa Maslahi kwa Viongozi wa umma.
Kamishna wa Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma, Jaji Salome Suzete Kaganda (kwanza kushoto) akizungumza kwenye semina ya majadiliano kati ya Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma na wanahabari waliojadili rasimu ya Sheria Mpya ya Kudhibiti Mgongano wa Maslahi kwa Viongozi wa umma.
Kamishna wa Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma, Jaji Salome Suzete Kaganda (kwanza kushoto) akizungumza kwenye semina ya majadiliano kati ya Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma na wanahabari waliojadili rasimu ya Sheria Mpya ya Kudhibiti Mgongano wa Maslahi kwa Viongozi wa umma.
Kamishna wa Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma, Jaji Salome Suzete Kaganda akizungumza kwenye semina ya majadiliano kati ya Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma na wanahabari waliojadili rasimu ya Sheria Mpya ya Kudhibiti Mgongano wa Maslahi kwa Viongozi wa umma.
Kamishna wa Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma, Jaji Salome Suzete Kaganda akizungumza kwenye semina ya majadiliano kati ya Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma na wanahabari waliojadili rasimu ya Sheria Mpya ya Kudhibiti Mgongano wa Maslahi kwa Viongozi wa umma.
Baadhi ya washiriki katika semina ya majadiliano kati ya Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma na wanahabari waliojadili rasimu ya Sheria Mpya ya Kudhibiti Mgongano wa Maslahi kwa Viongozi wa umma.
Baadhi ya washiriki katika semina ya majadiliano kati ya Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma na wanahabari waliojadili rasimu ya Sheria Mpya ya Kudhibiti Mgongano wa Maslahi kwa Viongozi wa umma.
Baadhi ya washiriki katika semina ya majadiliano kati ya Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma na wanahabari waliojadili rasimu ya Sheria Mpya ya Kudhibiti Mgongano wa Maslahi kwa Viongozi wa umma.
Baadhi ya washiriki katika semina ya majadiliano kati ya Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma na wanahabari waliojadili rasimu ya Sheria Mpya ya Kudhibiti Mgongano wa Maslahi kwa Viongozi wa umma.
Baadhi ya washiriki katika semina ya majadiliano kati ya Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma na wanahabari waliojadili rasimu ya Sheria Mpya ya Kudhibiti Mgongano wa Maslahi kwa Viongozi wa umma.
Baadhi ya washiriki katika semina ya majadiliano kati ya Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma na wanahabari waliojadili rasimu ya Sheria Mpya ya Kudhibiti Mgongano wa Maslahi kwa Viongozi wa umma.
Katibu Msaidizi Kanda ya Mashariki, Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma, Getrude Cyriacus (wa kwanza kushoto) akiwasilisha mada juu ya Rasimu ya Sheria Mpya ya Kudhibiti Mgongano wa Maslahi kwa Viongozi wa umma kwa wanasemina.
Katibu Msaidizi Kanda ya Mashariki, Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma, Getrude Cyriacus (wa kwanza kushoto) akiwasilisha mada juu ya Rasimu ya Sheria Mpya ya Kudhibiti Mgongano wa Maslahi kwa Viongozi wa umma kwa wanasemina.
Baadhi ya washiriki katika semina ya majadiliano kati ya Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma na wanahabari waliojadili rasimu ya Sheria Mpya ya Kudhibiti Mgongano wa Maslahi kwa Viongozi wa umma.
Baadhi ya washiriki katika semina ya majadiliano kati ya Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma na wanahabari waliojadili rasimu ya Sheria Mpya ya Kudhibiti Mgongano wa Maslahi kwa Viongozi wa umma.

Rais Mstaafu wa Awamu ya Pili, Alhaj Ali Hassan Mwinyi amesema bado viongozi wa umma wanatumia madaraka yao na Ofisi zao kwa kujinufaisha wenyewe na kuwasahau wananchi waliowaweka madarakani hivyo kuna kila sababu ya kuleta sheria ya kuziba mianya hiyo kwa viongozi wanaokwenda kinyume na maadili.

Alhaj Mwinyi ameyasema hayo leo jijini Dar es Salaam alipokuwa akifungua semina ya majadiliano kati ya Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma na wanahabari waliojadili rasimu ya Sheria Mpya ya Kudhibiti Mgongano wa Maslahi kwa Viongozi wa umma.
Alisema licha ya kuwepo kwa Sheria ya Maadili ya Viongozi wa Umma ya mwaka 1995 inayotumika sasa bado kumekuwa na wimbi kubwa la mienendo ya matumizi mabaya ya ofisi na madaraka kwa viongozi wa umma kwa kujinufaisha wenyewe kimaslahi.

“…Maana yake ni kwamba umma sasa haupewi kipaumbele unavyo stahiki. Maamuzi ya viongozi yanatolewa kwa maslahi binafsi na hivyo kudhihirisha kuwepo kwa tatizo la mgongano wa maslahi. Viongozi hao waliopewa dhamana na wananchi wanatumia rasilimali za umma ili kujinufaisha binafsi au shughuli zao ambazo wanazo pembeni,” alisema Rais huyo mstaafu.
Alisema hata hivyo sheria ya maadili ya viongozi wa umma imekuwa na mapungufu kwa kuwabana baadhi ya viongozi wa umma na kuwaacha wengine pamoja na watumishi wa umma hivyo kujikuta nao wakijihusisha na mgongano wa kimaslahi.

Hata hivyo, ameongeza kuwa tayari Serikali imeona mianya hiyo na hivyo kuanza mchakato wa kuja na sheria maalum itakayo dhibiti hali hiyo. “…Nadhani mmewahi kusikia mara kwa mara namna ambavyo Rais wetu Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete akiagiza Serikali kufanya jitihada za dhati ili kuhakikisha kuwa viongozi wa umma wanaacha au wanajiepusha na tabia ya kushiriki zaidi kwenye biashara na kuacha jukumu lao…,” alifafanua Mwinyi akiwaeleza washiriki wa semina hiyo.
Aidha aliipongeza Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma kwa kuanza mchakato wa kutungwa kwa sheria Mpya ya Kudhibiti Mgongano wa Maslahi kwa Viongozi wa umma, ambapo itakapo kamilika huenda ikawa suluhisho la mgongano wa kimaslahi kwa viongozi na watumishi wa umma.

Rais huyo mstaafu aliwataka wanasemina kuijadili rasimu iliyowasilishwa na Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma na kutoa maoni yao kuiboresha zaidi ili itoke na majibu ya kero ya muda mrefu ya Mgongano wa Maslahi kwa Viongozi wa umma.
Kwa upande wake, Katibu Msaidizi Kanda ya Mashariki, Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma, Getrude Cyriacus akiwasilisha mada juu ya Rasimu ya Sheria Mpya ya Kudhibiti Mgongano wa Maslahi kwa Viongozi wa umma kwa wanasemina kabla ya mjadala alisema wataalam wa Sekretarieti hiyo wamefanya utafiti kwenye mataifa mbalimbali na kutoka na mapendekezo ambayo yataongoza mjadala kuelekea kupata sheria nzuri.

Naye Kamishna wa Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma, Jaji Salome Suzete Kaganda akizungumza katika semina hiyo, alisema Rasimu ya Sheria Mpya ya Kudhibiti Mgongano wa Maslahi kwa Viongozi wa umma walioiandaa itajadiliwa na wadau mbalimbali ili kupata maoni kabla ya kuwasilishwa kwenye baraza la makatibu wakuu kuboreshwa zaidi kabla ya mchakato kupanda ngazi za juu.

Aidha aliwataka wananchi na wadau wengine kuendelea kuijadili Rasimu ya Sheria Mpya ya Kudhibiti Mgongano wa Maslahi kwa Viongozi wa umma pindi itakapo wafikia na kutoa maoni kwa lengo la kuiboresha zaidi ili itakapo kamilika iweze kufanya kazi vizuri na kujibu kero zilizopo katika eneo hilo la viongozi wa umma.
“…Mapendekezo ya sheria hii hayalengi kuwafanya viongozi kuwa maskini, bali kasi yao ya ukwasi iendane na hali halisi ya kipato chao. Sheria hii itakapopitishwa itapunguza ubinafsi wa viongozi walioko madarakani kujipendelea wenyewe na maeneo wanayotoka.” Alifafanua Jaji Kaganda.
View detail

Design for Development Bootcamp

http://azizicompdoc.blogspot.com/
Interested in creating technologies and enterprises that improve the lives of people living in poverty? In this full day hands on workshop you will be introduced to the design cycle and and collaboratively work on solutions to real world problems

The workshop is co-hosted by Kinu and alumnus of this years International Development Design Summit (IDDS) in Arusha, who will introduce you to some of the concepts and tools used at IDDS.

Follow the link for more Information View detail

Wednesday, August 20, 2014

WANAFUNZI WA STASHAHADA YA UALIMU KUNUFAIKA NA MIKOPO


IMG_1680
Mkurugenzi Msaidizi Habari, Elimu na Mawasiliano toka Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu Bw. Cosmas Mwaisobwa akiongea na waandishi wa habari(hawapo pichani) kuhusu maandalizi ya utoaji mikopo kwa mwaka wa masomo 2014/2015, wakati wa mkutano uliofanyika leo jijini Dar es Salaam. Kulia ni Mkurugenzi Msaidizi Idara ya Habari (MAELEZO) Bi. Zamaradi Kawawa.
IMG_1689
Baadhi ya Waaandishi wa Habari wakimsikiliza Mkurugenzi Msaidizi Habari, Elimu na Mawasiliano toka Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu Bw. Cosmas Mwaisobwa wakati wa mkutano uliofanyika leo Jijini Dar es Salaam.

Serikali  imetoa fursa ya mikopo kwa wanafunzi watakaojiunga na masomo ya stashahada maalum ya ualimu wa masomo ya Sayansi na Hisabati.
Hayo yamesemwa na Mkurugenzi Msaidizi wa Habari Elimu na Mawasiliano toka Bodi ya Mikopo kwa wanafunzi wa elimu ya Juu Bw. Cosmas Mwaisobwa wakati wa Mkutano na waandishi wa Habari Leo Jijini Dar es salaam.
“ Wanafunzi wapatao 5,000 wanatarajiwa kujiunga na stashahada maalum katika Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) ambapo wote watanufaika na mikopo ya elimu ya Juu.”Alisema Mwaisobwa
Akifafanunua, Mwaisobwa alisema kuwa lengo la mpango huo ni kusaidia kuondoa tatizo la walimu wa masomo ya sayansi hapa nchini .

Aidha Mwaisobwa alibainisha kuwa jumla ya maombi 58,037 ya mikopo  yalikuwa yamepokelewa hadi kufikia Julai 2014 ambapo maombi 37,689 ni waombaji wa kiume na 19,592 ni waombaji wa kike.
Pia Mwaisobwa alibainisha kuwa majina ya wanafunzi watakaopata mikopo kulingana na udahili yatatangazwa kwenye tovuti ya Bodi  ambayo ni www.heslb.go.tz .na taarifa hiyo itatangazwa katika vyombo vya habari.
Bodi ya Mikopo kwa wanafunzi wa Elimu ya juu (HESLB) inakusanya wastani wa shilingi bilioni 3 kwa mwezi ikiwa ni marejesho ya mikopo iliyokwisha tolewa.
View detail

Wednesday, August 13, 2014

MOTO MKUBWA WAZUKA KTK MSIKITI WA MTAMBANI

http://azizicompdoc.blogspot.com/
Moto mkubwa umetokea ktk msikiti wa Mtambani uliopo endeo la Kinondoni "B" na kuunguza eneo lote la juu la msikiti huo ambako kunasadikiwa kulikua na madarasa kwa ajili ya shule inayomilikiwa na msikiti huo, chanzo cha moto huo bado hakijajulikana ila inasemekana ulianza ktk chumba kimoja walichokua wanalala wanafunzi wa shule hiyo baadhi wa kike na inasemekana  huenda ikawa ni mshumaa ndio ulisababisha moto huo lakini hizi ni tetesi kwa baadhi ya watu walioshuhudia tukio hilo na tunangojea taarifa maalumu kutoka kwa kamanda wa Polisi wa mkoa wa kipolisi wa kinondoni kuthibitisha chanzo cha moto huo. Endelea kutufuatili zaidi kupata taarifa yote ya tukio hili View detail

Why Shop on Bongo Online?

We make your shopping experience easy and exciting with our multiple payment options, amazing deals and unbeatable prices. You may pay on delivery or online with your Mobile Money. We fulfill your orders within the estimated time frame at your preferred location. We are committed to serving you, and your satisfaction is of utmost importance to us. Rest assured that for a wonderful shopping experience, Bongo Online Shop is the best place to be

About

Swissgear Smart Bag

468x60 Ads

HIDDEN CAMERA

Support : tzamaizing@gmail.com | Tzamaizing Template | +255 653 33 29 24
Copyright © 2015. AZIZI COMPUTER DOCTOR - All Rights Reserved
Template Created by Tzamaizing Published by Tzamaizing
Proudly powered by Bongo Online Shop